BEBICODE WORLDWIDE

Already a member(admin)?Sign in

Songs


Bwana

   (0 downloads)

Composer:Magdalena Nyambalya

Choir or Singer: Magdalena Nyambalya

Release Year: 2024

Bwana hasemi uongo, alichokitabiri ndo kinachotokea Sasa.

Safari ya Mbinguni

   (0 downloads)

Composer:Magdalena Nyambalya

Choir or Singer: Magdalena Nyambalya

Release Year: 2024

Safari ya kwenda Mbinguni yahitaji uvumilivu na kumwomba sana Mungu.

Jina la Yesu Salamu

   (1 downloads)

Composer:Isack Juma

Choir or Singer: Isack Juma

Release Year: 2024

Uaminifu ni mtaji, ishi na watu vizuri, kumbuka utu, hata kama huna kitu.

Bwana asema

   (0 downloads)

Composer:E. Majaliwa

Choir or Singer: St. Martine de Porres Choir

Release Year: 2014

Bwana asema, "Mimi ni wokovu wa watu, wakinililia katika taabu yoyote nitawasikiliza, nami nitakuwa Bwana wao milele".

Mkono wa kuume

   (0 downloads)

Composer:P.Bigir'Enyema

Choir or Singer: St. Martine de Porres Choir

Release Year: 2014

Njooni kwangu mliobarikiwa na Bwana, ulithini ufalme mliowekewa tayari.

Kwangu mimi kuishi ni Kristo

   (0 downloads)

Composer:P.Bigir'Enyema

Choir or Singer: St. Martine de Porres Choir

Release Year: 2014

Kwangu mimi kuishi ni Kristo na kufa ni faida kwa maana tukiisha ni kwa ajili ya Bwana na tukifa tutaishi naye milele.

Tumsifu Yesu Milele

   (0 downloads)

Composer:E. Majaliwa

Choir or Singer: St. Martine de Porres Choir

Release Year: 2014

Tumsifu Yesu kwa upendo wake, upole wake, huruma yake, faraja zake maana Yeye ni mwema milele yote.

Tumshukuru Mungu

   (2 downloads)

Composer:P.Bigir'Enyema

Choir or Singer: St. Martine de Porres Choir

Release Year: 2014

Tumshukuru Mungu kwa mema mengi anayotutendea. Tumshukuru wazima wazima kimwili na kiroho kwa kucheza, kuimba na kwa kila kiungo chetu cha mwili.

Haya Njoni Mzisikie

   (5 downloads)

Composer:E. Majaliwa

Choir or Singer: St. Martine de Porres Choir

Release Year: 2014

Habari za Bwana Yesu ni nzuri sana kuzisikia. Huyu Yesu ni wa ajabu na tena anashangaza; anaitwa Mwana wa Mungu hapo hapo anaitw mwana wa Adamu, ni Mwanakondoo hapo hapo ndiye Mchungaji mwema, kweli halinganishwi na hana mpinzani.

BACK TO THE TOP